Friday 15 March 2013

YAPO MAELEZO UPO USHAHIDI WALIOTOA MAGIZO

     Yapo maelekezo kua mtu fulani apa kwetu Kenya asitawale,Niwazi nguvu ya aina yoyote ili muradi mtu X na Y asiwai tawala.

     Yapo maelezo upo ushahidi waliotoa maginzo

Wangombea X X atuwataki.

Kuna watu amboa utengenezwa kuharibu au walio tengenezwa waweke pingamizi wapo munawajua vizuri sana mfano hai ni Livondo au Tuju,Mudavadi,Kenneth na group yote ilimuradi Raila Amollo asiwe Rais apa kenya hali hii nituipinge kwa nguvu yote 

No comments:

Post a Comment