Friday 15 March 2013

ATUPENDI KUSEMEWA

      Kuna watu ambao midomo yao utumika kufunika ukweli,Musiwe muna kimya mtu kuwasemea alichopewa ale pekeyake,Ukombozi Kenya watakiwa tunganishe nguvu.

     NGO's,Vikundi fulani au watu wanao jiita hivi au vile wakienda kwa vyombo vya habari FM Radio's,TV na magazeti wanatumika kufunika uwonzo wa kupora haki yetu apa Kenya

No comments:

Post a Comment