Yoki ni "ijoki" sina jina lake kamili lakini utumiwa kufungia Ng'ombe ili ikokote gari la Ng'ombe "ikasya"
Basi Sonko munakumbuka kesi nyongi sana zilimuandama?Hii ilikua ana pewa misukasuko hio ili awe mmoja wao.
Sote twajua Kenya imekua kwa mikono ya watu fulani,ivyo wao wakikutaka uwa wanakupa misukasuko ili usalimu amri
Mtu anasema ushikwe ili aje kukutoa ndio umuone kua mzuri wako na niyeye alie tumana ushikwe.
Msishangae kumuona Sonko yuko upande huo aliopo,
Apa wanataka kumuingiza Johnstone Muthama,Ubaya wetu wakenya atusaidii mtu anapo banwa ni sisi kuwasaIDI
Basi Sonko munakumbuka kesi nyongi sana zilimuandama?Hii ilikua ana pewa misukasuko hio ili awe mmoja wao.
Sote twajua Kenya imekua kwa mikono ya watu fulani,ivyo wao wakikutaka uwa wanakupa misukasuko ili usalimu amri
Mtu anasema ushikwe ili aje kukutoa ndio umuone kua mzuri wako na niyeye alie tumana ushikwe.
Msishangae kumuona Sonko yuko upande huo aliopo,
Apa wanataka kumuingiza Johnstone Muthama,Ubaya wetu wakenya atusaidii mtu anapo banwa ni sisi kuwasaIDI