Saturday 16 March 2013

Wakenya tujiandae kwa maandamano ya "AMANI"

      Mandamano si uvunjaji wa amani bali ni njia moja ya kuonyesha kutoridhishwa ni mamuzi fulani au mambo yanavyo endeshwa.

       Tunajua kuwa kuna kundi ambalo limekua likifaidika ni uwongozi ulioko Afrika,kwakua mambo yao yanawaendea.

       Ebu geuka apo ulipo na uangalie au ukumbuke vitu vilivyo kua tulipo pata uhuru 1963 na sasa

1;Mabasi ya kutoa huduma "KBS" hayaikua hivi,kuna watu ambao kazi yao ni kuiba na kufilisi ili wawe na biashara hio.
Matatu ndio zime wekwa ili kukinyesha nauli zina pandishwa na kukiwa na sikukuu au chochote kile

2;Sipitali zimekua aziendeki zile za umma madawa zinahamishwa kwakupelekwa kwa za binafsi,
3;Watu wamekua wanyakuzi wa chochote cha umma
4;Gari la moshi kama mukumbukavyo walikua wakitoa huduma mara 4 kwa siku "train "ya Mombasa ambayo ilikua ikiondoka 6pm na 7pm Mengine 2 Kisumu kila siku bila ya kuchelewa,Yako wapi leo?
5;Bandari wanaimezea mate hao hao ndio wanaiba alafu wasema Bndari aileti faida

No comments:

Post a Comment