Friday 15 March 2013

KULIKUA NA TARIFA ZA KIMAPEMA KUA KURA ZITABADILISHWA ZIWE ZA JUBILEE UKO VITUONI VYA KUPIGA KURA

        Kulikua na tarifa za awali kua Jubilee walipanga kuwanunua baadhi ya mawakala wa CORD na kubadilisha kura masandukuni kwa baadhi ya sehemu na kukukwamisha baadhi ya sehemu.
   
Nyote mulishuhudia kura za Uhuru sehemu alikua akipata zaidi ya  70,000 au 90,000 na sehemu zake Raila akishinda ulisikia 30,000 au 20,000 huu ni mpango ulio sukwa ni wakuu kando ya pazia mkuu wao akiwa Moi ndio maana walikwamisha mitambo kimakusudi ili warudi kwa zama zake.

No comments:

Post a Comment