Saturday 16 March 2013

Uchaguzi wa Urais ulikua vurugu mechi

        Uchaguzi wa Urais ulingia dosari nyingi sana,Kenya twaelewa kupiga kura ni haki ya kila mkenya na Kenya chini ya hii katiba mupya kila mtu ana haki yake ya musingi.

        Habari nilinzo pata vuvuzela,fujo na balaa ilitokea 3am 4 march 2013,Watu Githurai nanasikia ni kwote sehemu za Uhuru watu walipigiwa makelele wamuke wende kupiga kura.
  
       Na ilipo fika 11am 4 march 2013 basi kila mtu alilazimishwa kuonyesha kidole kama amepiga kura na ukikutikana una wino wakupiga kura basi biashara yako ili haribiwa kabisa.

   JE IEBC ILIENDESHA UCHAGUZI KWA NJIA YA HAKI?IWAPO WATU WALILAZIMISHWA KUPIGA KURA.

     Nawengine wakapoteza maisha,hii ilifanywa Pwani kutishia watu wasijitokeze kwa wingi kwakua ni sehemu iliojulikana kua  ni sehemu ya Raila,apa kila kitu kilipangwa kikapagika kwa vikao vyao vingi tu walivyo vikaa kabla ya uchaguzi.

    IEBC NI TUME AMBAYO ILITEGEMEWA KUA ITAENDESHA UPIGAJI WA KURA KWA NJIA YA HAKI NA UWAZI,UCHAGUZI HUU AUKUWA WA HAKI NA UWAZI KATAA KUBALI

No comments:

Post a Comment