Saturday 16 March 2013

MSIKUBALI KUTUMIWA KUKWAMISHA JUHUDI ZA MASINI WENZETU KUJIKOMBOA

      Kila kitu kiko wazi apa hizi ni juhudi za wachache walio nacho kupinga hali ya mkenya masikini,Nina hakika wenzetu wako mbele kwa kutanguliza pesa.

     Laikini sisi mshikamano wetu utatukomboa,Tuwe wajanja nakuchambua juhudi yeyote

Hon Johnstone Muthama kusema ni haki yake ya msingi na haiwezekani yeye kutishiwa maisha wakuongea ukweli.

     Mkae mjue kuna vitisho vingi kila mahali ata PS's wanatumiwa lakini musi hofu kuongea ukweli si ku "hate speech" matamushi ya chuki nikusema piga,ondoa lakini ukweli hauwezi ata siku moja ukageuka kua "hate speech"

No comments:

Post a Comment